Moja ya kivazi alichokivaa big Harusi Jackline Ntuyabaliwe akiwa anapunga upepo.
Anaonekana bi Harusi akiwa na wanawe mapacha, ambao walikuwa sehemu ya waalikwa waliohudhuria.
Bi Harusi Jackline Ntuyabaliwe akiwa na wageni wachche waliohudhuria hafla hiyo.
Pichani wanaoneka Bw na Big Mengi wakiwa wamekaa ufukweni na watoto wao.
Kwa mujibu Wa vyanzo mbalimbali vya habari, hafla ya ndoa hiyo ilifanyika ktk visiwa vya Mauritius ambapo waliohudhuria waalikwa wachache ambao ni watu Wa karibu kwa familia hiyo.
Bw na Bi wakipiga picha wakiwa na furaha tele!
Bi Harusi akiwasili kwenye eneo lilokusudiwa!
Wanaonekana Maharusi hao wakikata keki!
Wakipozi kwa picha ya pamoja!
Wakiwa pamoja na marafiki zao ktk picha ya pamoja!
Bw Harusi akila kiapo cha utii
Nyongeza ya habari hii ni kwa hisani ya bongo5
Habari hii kwa hisani miss popular blog